Description
Ipo mbagala chamanz kwa dumba jijini DAR ES SALAAM TANZANIA ina vyumba vitano vya kulala kimoja master bedroom ina sitting room na jiko na public toilet pamoja na maji na umeme eneo square meter 350 Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa nyumba nzuri sana ina uzwa tsh mil ishilini na tano tu