01.04.2022Tanzania, Dar Es Salaam

NYUMBA INAUZWA MBEZI BEACH MBUYUNI.

TZS 100 000 000

Description

Nyumba inauzwa Uwanja sqmt 800 ina room 3 moja master bei milion 100 tu nyumba nzuri iko mbezi beach karibu na mbuyuni pale IPTL mtaa wa pili kutoka main road,Kwa mahitaji ya kupata nyumba km hizi njia ya bagamoyo Road za bei nafuu maeneo ya Dar tupigie simu tunazo za kutosha.

Chriss Real Estate Agency

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam