Description
Nyumba inauzwa ipo mbagala kingug " B" mtaa wa HEKIMA.inavyumba vinne ambavyo vimekamilika,viwili havija kamilika na ina kieneo kidogo kilichobaki.ipo umbali wa DAKIKA 15 toka barabara kuu ya lami na inafikika na gari hadi kwenye nyumba.Bei milion 8 maongezi yapo.Mawasiliano 0756162224 au 0686961403 WhatsApp +255 686961403