29.06.2023Dar es Salaam

Nyumba inauzwa kibaha

TZS 50 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Square units
3500 acreas

Description

Nyumba ipo kwenye condition nzuri kibaha kwa mfipa. 1. Vyumba vitatu vya kulala kimoja self contain 2. Nyumba ina umeme na maji na tank. 3. Ina eneo kubwa la kupack magari zaidi ya kumi. 4. Nyumba ipo karibu na chuo kikubwa cha Taifa na uongozi Tanzania. 5. Nyumba ipo umbali wa dakika sita kutoka barabara ya lami Nyumba ni ya familia Document zote za hati na walengwa wapo. Karibuni sana bei maelewano. Kwa maelezo na video kuona ukubwa wa eneo unaweza kunicheki via WhatsApp au normal calls

ABM L.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam