20.02.2022Tanzania

NYUMBA INAUZWA IPO MBEZI MSUMI

TZS 20 000 000

Description

3rooms 1 master seble dining toilet public kitchen na stoo Ukubwa wa kiwanja 20 kwa 15 Pameshapimwa na becon tayari kuchimbiwa Plasta tayari imeshapigwa ndani na nje ya nyumba Wire ring pia tayari na pvc ju Kwa nje Grill tayari kote milangoni na dirishani Juu bati la msouth Nguzo ya umeme ipo pembeni ya mpaka wa kiwanja hatua moja nyumba ipo karibu na barabara kubwa ya mtaa dakika moja kufika barabarani Huduma za kijamii zipo karibu pia maji ya bomba yapo nyumba ya jirani Contact:0694140851

Rich c. d.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location