29.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

NYUMBA INAUZWA BUNJU MIANZINI

TZS 120 000 000

Description

*Nyumba Mpya kabisa ipo BUNJU MIANZINI,* yaani wewe ndo unaizindua na kuingia ndani. Ina vyumba viwili (2) vyote master room. Ukubwa wa kiwanja ni 500sqm, hati ni ya kuprocess kwa jina lako mwenyew. Bei ni Tsh 120 million.

Emmanuel Maembe

Member since 2017.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam