Details
Description
Hii ni nyumba mpya ya kisasa yenye vyumba vinne (4) vya kulala ambavyo vyote vina Vyoo ndani, katika Kiwanja chenye HATI MILIKI (Title Deed) ya Wizara ya Miaka 99 na Pia BIMA Hai ya Madhara. Mali hii Ina Kisima cha Maji na Nyumba ya Mlinzi. Mali hii ipo umbali wa Miata 200 tu kutoka Barabara ya kuu ya Kolwa, VIKINDU Mjini. ____________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuna ji Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ____________zw