Details
Description
Hapa kuna nyumba kubwa inayojitegemea, ambayo ina vyumba 3 (Masta 1) Sebule,Jiko na Choo cha Familia ndani. Pia kuna Banda lenye vyumba 5 nyuma. Kiwanja kina ukubwa wa SQM.700. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni MBAGALA CHAMAZI. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________rr Ukihitaji kukagua taarifa mapema.