10.02.2025Dar es Salaam

NYUMBA 4 PAMOJA INAUZA BANK

TZS 55 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
750 m2

Description

Hizi ni nyumba 4 katika Kiwanja kimoja. Eneo ni mita chache tu kutoka Barabara ya Lami. KINYEREZI MBUYUNI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 750. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Nyumba 3 zilizopo kila moja ina vyumba 3 (Masta 1) Sebule,Jiko na Choo cha Familia ndani. Nyumba moja imeishia kwenye hatua ya kuweka Linta. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___mpg Kuona nijulishe mapema

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam