Details
Description
Hizi nyumba tatu zote ndani ya kKowanja kimoja. Kila nyumba ina vyumba vya kulala vitatu (2) Sebule, Jiko na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ________dUkNu Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.