Details
Description
Nyumba mbili nzuri ZAKUHAMIA, katika Kiwanja kimoja. Zinauzwa kwa Bei rafiki ya Tshs.110M (Milioni Mia Moja na Kumi ) kwa zote. Zipo PUGU KINYAMWEZI, ILALA DAR ES SALAAM. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,000. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO Kubwa Ina vyumba 4 (3 Masta) Ya-pili Ina Vyumba 2 (Masta 1) Kila nyumba Ina pia Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Parking ipo ya kutosha. _______ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe Mnunuzi)