Details
Description
Hizi ni nyumba mbili nzuri ndani ya Fensi. Zipo KWADIWANI, BOMBAMBILI-UKONGA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 450. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Moja ina vyumba 4. Na nyingine ina vyumba 3. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ________mskv Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali