Details
Description
Hizi ni nyumba mbili tulivu katika Kiwanja kimoja, Na Ndani ya Fensi safi. Eneo ni CHAKENGE/KIVULE. Kubwa: Ina Vyumba 3 ( Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Ndogo: Ina Chumba 1, Sebule,Jiko na Choo chake ndani. Huduma za Umeme na Maji zipo. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10%. Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________mskv