Details
Description
Hii ni Mali ya MAKAZI NA BIASHARA. Kuna nyumba mbili kubwa na za kisasa. ambapo kila moja inajitegemea lakini pia kuna Maduka 4 ambayo yote yana Wapangaji, Ni Mini-super Market na Mgahawa wa kisasa. Eneo ni BUNJU, Mita 400 kutoka Barabara ya Bagamoyo upande wa kulia ukieleka Bagamoyo. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,600. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ________ ANGALIZO Malipkvya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) ________jj