Details
Description
Hii ni nyumba nzuri ya kisasa. Inavutia na inapendeza. NI YAKUHAMIA. IPO MBAGALA CHAMAZI MZAMBARAUNI. Ina vyumba vya kulala 4 ( 2 vyoo ndani) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Vilevile kuna Banda lenye vyumba 5. WAHI KUONA UFANYE MAAMUZI MAPEMA _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________ Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.