Details
Description
Hapa ni MAGOMENI-MAPIPA. Hii ni nyumba ya BIASHARA ambayo inaangalia Barabara ya Lami ya Mtaa. Kuna MADUKA/FREMU-TANO (5) Yote yana Wapangaji sasahivi. Kodi kila Duka moja kwa Mwezi ni Tshs.250,000. Vilevile kuna nyumba yenye vyumba viwili (2) nyuma. Eneo lina Ghorofa za Biashara na Makazi za kutosha. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________llk