08.03.2022Tanzania, Pwani

KIBAHA MJINI, NYUMBA INAUZWA

TZS 45 000 000

Description

Nyumba iko Kibaha Mjini, Lulanzi Iko km 2 toka Moro road. Eneo lake ni sqm 789 Pamepimwa na pana hati miliki. nyumba ya vyumba ina vyumba vitatu kimoja master,jiko, dinning public toilet na bafu ndani HAIJAKAMILIKA, BADO FINISHING. Maji ma umeme vyote vipo. Bei: 45 Million

Lugalabam Juniour

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Pwani