Details
Description
Hii nyumba ipo VIGWAZA/KIBAHA. Mbele ya MLANDIZI. Wastani wa mita 600 kutoka Barabara ya Morogoro. Nyumba ina vyumba 3 (masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ________jj