Details
Description
WAHI NJOO UJIOKOTEE. Hii nyumba IMEPOROMOSHWA Bei sasa. Ukiiokosa sasa tusilaumiane. NI YAKUHAMIA. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Eneo ni GIBA MATOSA. Vyumba 3 (Masta Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________jj