Details
Description
Hii ni nyumba kubwa ya kisasa na ambayo ina nafasi. Eneo ni MAKONGO JUU. Kiwanja SQM. 1,000. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 3 (Masta 1) Pia kuna Sebule, Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.