Details
Description
Hii nyumba ipo KIPUNGUNI-B, UKONGA. Wastani wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Pugu. INAHITAJJ MABORESHO MADOGO KAMA RANGI. Kiwanja kina ukjbwa wa SQM. 800. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________jj