Details
Description
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 450. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Nyumba ipo ULONGONI-B, GONGOLAMBOTO. Vyumba 3 (Mastav1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. __________jj Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.