19.06.2022Tanzania, Dar Es Salaam

INAUZWA MIL 29 IPO MBAGALA CHAMANZI

TZS 29 000 000

Description

Nyumba inauzwa Milion 29 tu Nyumba nzuri sana kubwa ya kisasa kabisa ina vyumba vitatu vya kulala kimoja master bedroom Ina sitting room na daining room na jiko na store Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Nyumba ipo mbagala chamanz Ipo meter chacha tu kutoka bara bara kuu ya Rami ukubwa wa Eneo square meter 300 Document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa Nyumba ipo kwenye mtaa nzuri sana ume nyooka sana PIGA SIMU:

DALALI T.

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam