20.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

Inauzwa ipo Mbezi kwa msuguri Dar es salaam

TZS 40 000 000

Description

Nyumba inavyumba vi2 kimoja master bedroom Ina sebule, jiko, choo cha pamoja, nyumba ipo ndani ya fensi ina parking ya kutosha kupaki gari ndogo 3, maji yapo umeme upo, nyumba ipo mita 300 kutoka barabara ya lami njoo ukague garama za kupelekwa saiti kuona ni elfu 20,000/=

Mpanga

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam