18.05.2022Tanzania, Dar Es Salaam

INAUZWA IPO ILALA KITONGA DAR ES SALAAM

TZS 22 000 000

Description

Nyumba ipo kutonga wilaya ya Ilala mkoa wa Dar es salaam, nyumba inavyumba vi4 vya kulala kimoja master bedroom Ina setting room dining room kitchen store public toilet, nyumaba maji yapo umeme upo, pia hapo mbali na barabara kubwa yaani ukishuka Stendi wala huitaji kupanda boda boda, njoo ukague tufanye biashara garama za kupelekwa saiti kuona ni elfu 20,000/=

Mpanga

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam