07.02.2025Dar es Salaam

IMESHUSHWA BEI MACHIMBO

TZS 40 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
750 m2

Description

Hi ni nyumba ya kisasa ambayo ipo MACHIMBO, KITUNDA. Kiwanja chake kina ukubwa wa SQM. 750. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Ina vyumba vya kulala 4 (Masta 1) Pia Ina Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Ipo ndani ya Fensi, Ina AC, Parking ya kutosha na ni Jirani na Barabara ya Lami. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali. _________mskv

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam