Details
Description
Hii ni nyumba nzurj ya kisasa na yenye nafasi. Ipo KIVULE FREMU 10, Jirani na Hospitali ya Wilaya na jiranj pia na Kotuo cha Daladala. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,400. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Vyumba 3 (Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Nyumba ina Kisima cha Ku-Drill na Parking yenye Paving. ___ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___mpg