29.12.2021Tanzania, Dar Es Salaam

House for immediate sale at makongo

TZS 300 000 000

Description

NYUMBA INAUZWA MAKONGO Nyumba ina Ghorofa Moja Nyumba ina Vyumba 6 vya kulala -Vyumba Vitano (5) ni master bedroom -Vyumba vitatu(3) vina balcony Ina sebule kubwa na yenye Nafasi ya kutosha. Kuna dining kubwa ya kutosha Kuna umeme na maji Nyumba ina ukubwa wa 1800 sqm Bei ni 300M

George Rwechungura

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam