Details
Description
Hii ni nyumba nzuri mpya. Unamalizia mwenyewe ujenzi mdogo tu. Kama huna makuu unahamia na kuishi pasi na bughudha na mtu. Utalipa Kodi hadi lini? Kwa Tshs 25 Milioni tu za Kitanzania nawe TUNAKUINGIZA kwenye Daftari la WENYE NYUMBA MJINI. Kubwa kuliko, unamiliki nyumba SIO KIGAMBONI TU. Bali ENEO LA KIBADA, NA HIYO OFA NDIO WOYOOOOO! Vyumba 3 (Masta 1 ) na Jiko la nje. USIAGE MTU BEBA NA NJOO WEWE,FAMILA NA PESA KABISA TUMALIZE ___ Dalali 10% Kuona Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI)