04.04.2022Tanzania, Dar Es Salaam

GOROFA LINA UZWA BEI POA SQM 3500.

Negotiable

Description

Nyumba ya ghorofa moja Ipo Bunju Mapinga karibu ya shule BAOBAB. kiwanja chake kikubwa sana square metres 3,500 waweza kufanya chochote.Chini ina sebule, Dining na vyumba viwili vya kulala na vyote ni master.Pia ina jiko na chumba cha saloon Juu ina sebule kubwa, vyumba vitatu vya kulala vyote ni master, chumba kimoja cha kusomea, na chumba cha kuweka mashine za kufulia. Ipo ktk eneo zuri na lenye rutuba nzuri waweza kufuga na kufanya garden kubwa Umeme upo pia maji yapo yakutosha na yenye presha tayari yapo mpaka juu ya Jengo. Nyumba ni nzuri ya kisasa bado vitu vidogo vidogo vya kumalizia magrili kote yapo Njoo ukague Bei ni maelewano utoe ofa yako uchukue gorofa wahi usikikose.

Chriss Real Estate Agency

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam