09.05.2025Dar es Salaam

GHOROFA, ROOM 5, MTONI KIJICHI

TZS 1 200 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
2000 m2

Description

Hii ni nyumba nzuri ya kisasa, yenye nafasi. Ni ya KUHAMIA. Mtaa wa Wenye nazo. Salama na tulivu. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 2,000 Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Vyumbac5 vya kulala (5) Kuna Masta,Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. Pia kuna nyumba ndogo inayojitegemea pia. Unaweza kuifanya ya Wageni, Msaidizi au, ya Mlinzi. ________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) ________dtKj

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam