Details
Description
Hii ni nyumba ya KUMALIZIA UJENZI. Ghorofa ya Sakafu mbili. Ipo eneo la GOBA-KULANGWA. Wastani wa kilomita 2 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Madale. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700. Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. Vyumba 4 vya kulala (Masta 1) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. ________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _______mpg