Details
Description
PAGALE hili ni la kisasa. Lipo umbali wa mita 400 tu kutoka Barabara ya Lami. Eneo ni MBAGALA CHAMAZI. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 380. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani) Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani. _________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.