Details
Description
Ni ya Sakafu mbili. Ipo GOBA S3NTA. Wastanj wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami. Ina jumla ya vyumba vya kulala vitatu. Kila Chumba n Choo chake. Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani. Vilevile kuna Frem moja ya Biashara. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300. Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. ___________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000 (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. ___________jj