25.05.2022Tanzania, Morogoro

Boma jipya linauzwa

TZS 16 500 000

Description

BOMA kubwa na jipya linauzwa mkundi morogoro, kutoka lami ni streight hadi site, sio mbali na barabara kubwa ya lami, lina kiwanja kikubwa cha mita 30 kwa 35, bima lipo sehemu iliyojengeka vizuri, pamepimwa, eneo linq hati miliki, waweza kwenda kuhakiki uhalali wa hati kabla ya malipo, bei milion 16.5, 0652644084/0734443403

ANTONY S.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Morogoro