24.09.2022Tanzania, Tanzania

Nyumba inapangishwa Pugu Shule

TZS 300 000

Condition:

USED

Description

Nyumba ina vyumba 3. chumba kimoja ni master na ina Maji ya Dawasa yanaflow ndani. pia ina tank la maji. nyumba ina geti na niya kujitegemea. Ipo Pugu shule ya msingi karibu na barabara ya lami. nyumba imetulia na salama kwa familia

ALFAN M.

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Tanzania