CategoriesJobsHospitality

10.06.2022Tanzania, Dar Es Salaam

Ajira: kampuni ya kusindika na kupaki vyakula

Negotiable

Details

Salary Range (Tsh)
Contact Method
other
Business/Employer name
Prime C
Application deadline
2022-06-30
Job level
entry-level

Description

Dondoo Eneo la Kazi: Kijitonyama, Dar es Salaam. Aina ya ajira: ajira ya kudumu Malipo: Mshahara mwisho wa mwezi, chakula cha mchana kila siku Siku za Kazi: Jumatatu hadi Jumamosi Mwajiriwa atafanya ukaguzi wa ubora wa bidhaa, atatumia mashine za kusindika vyakula (mfano: mashine za kusaga, za kufungashia bidhaa, visu), na atahakikisha mahitaji ya wateja yanatimizwa. Ili kufanikiwa kama mwajiriwa katika kampuni hii, unapaswa kuwa na uadilifu, uchapakazi, uwezo na utayari wa kujifunza vitu vipya, na huduma kwa wateja iliyotukuka. Ujuzi wa uchakataji/usindikaji wa vyakula (mfano: nyama, nafaka) au uzoefu wa kuhudumia wateja kwa ubora utasaidia maombi yako ya kazi Mahitaji ya Kazi • Uwezo wa kutumia zana za mkono • Uwezo wa kushughulikia kazi nyingi kwa wakati mmoja • Mawasiliano thabiti, kufuata maelekezo kwa umakini, kujisimamia kazi mwenyewe • Uvumilivu na ustahimilivu kazini Tafadhali usitume maombi ikiwa hauna ari. muda, na uwezo wa kufanya kazi hii, Mwisho wa kutuma maombi: 30 Juni 2022

Prime C.

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Dar Es Salaam