CategoriesJobsHealthcare

02.06.2022Tanzania, Arusha

NJIA YA KUTIBU UVIMBE KWENYE KIZAZI

Negotiable

Description

TIBA YA UVIMBE KATIKA KIZAZI (fibroids): Aina, chanzo Dalili na Tiba FIBROID NI NINI? Fibroid ni uvimbe ambao hutokea kwenye tumbo la kizazi ambao huu uvimbe unaweza kuwa ndani ya kizazi(ukutani mwa kizazi) au ndani ya nyama ya kizazi na nje kwenye ukuta wa kizazi. Aina zake Kuna aina kuu zifuatazo za fibroids: 1.Submucosal fibroids(ndani ya kizazi) 2.intramural fibroid(ndani ya nyama za kizazi) 3. Subserosal(nje ya kizaz) Watu wafuatao wako hatarini kupata ugonjwa huu wa fibroids. 1.Mwanamke ambae hajawahi kupata mtoto mpaka umri mkubwa 2.miaka kuanzia kubalehe mpaka hedhi kukoma 3.kurithi 4.unene 5.kuingia hedhi mapema Fibroids sio kansa ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrogen hormone ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini. Na mara nyingi uvimbe huu huwa unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto. Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma. Dalili za fibroids; 1.Kutokwa damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi. 2.kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya au ambao hauna harufu lakini mwingi na mweupe. 3.maumivi ya kiuno hasa wakati wa hedhi ambayo husababishwa na kizazi kujaribu kusukuma huo uvimbe..wengi hupata maumivu makali sana. 4.Tumbo kuuma sana chini ya kitovu. 5.hedhi zisizokuwa na mpango 6.maumivu wakati wa tendo la ndoa 7.Kukosa hamu ya tendo la ndoa 8.maumivu makali wakati wa hedhi. Uvimbe unapokua mkubwa unaweza kusababisha dalili zifuatazo. 1.Kukojoa mara kwa mara kwani uvimbe unakandamiza kibofu cha mkojo 2.Mkojo kubaki kwenye kibofu cha mkojo 3.Haja kuwa ngumu 4.miguu kuvimba 5.kupungukiwa damu Jinsi fibroids zinavyoweza kuzuia kupata mtoto: 1.Fibriods zikikua sana zinakandamiza mishipa ya kupitisha mayai kutoka kwenye kiwanda yani ovari 2.Uvimbe pia unazuia yai lililorutubishwa kujishikiza kwenye kizazi..hasa submucosal fibroids 3.Pia huzuia mfuko wa kizazi kukaza kusukuma mbegu kwenda kwenye mishipa ya kupitisha mayai. MATIBABU 1.Wanawake wengi wanafibroids ndogo ndogo lakini kwa sababu hazina dalili hawawezi kwenda hospitali na hawa ndo siku wakibeba ujauzito uvimbe unaongezeka kwa sababu ya vichocheo kuongezeka hivyo hawa watu tunawabaini tunapofanya ultrasound ndipo wanakutwa navyo.lakini kitaamu hospitali hawatibu uvimbe wa namna hii labda kwa njia mbadala 2.Uvimbe ambao ni mkubwa wenyewe hutibiwa kwa namna zifuatazo (hospital) A.Dawa ambazo ni gharama sana mfano donazol wengi masikini hawawez kumudu kununua B.Vidonge vya maumivu C.Vidonge vya kuzuia damu kama tranexamic acid na dawa za uzazi wa mpango(COCs) 2.Njia ya pili ni operation nazo zipo operation aina nyingi inategemea na uvimbe ukubwa na wingi wake. 1.Myomectomy hii ni operation ya kuondoa uvimbe mmoja mmoja bila kuondoa kizazi kwa wale wenye uvimbe mmoja uko sehemu nzuri 2.Total abdominal hysterectomy. Hii operation unaondoa kizazi chote kama uvimbe umekaa vibaya na viko vingi. UKIFANYIWA OPERATION USIDHANI UVIMBE UMEISHA UNAOTA PEMBENI HADI UTAKAPOWEKA VICHOCHEO SAWA. Tunatoa tiba kwa njia ya Virutubisho lishe na tiba mbadala na kumaliza uvimbe bila upasuaji Kwa maoni, ushauri na tiba za matatizo mbalimbali ya kiafya kama vile U.T.I, PID, presha, sukari, matatizo ya moyo, kuacha sigara na pombe, bangi na mirungi, kifua, pumu, vimbe mbalimbali, matatizo ya hedhi, figo, Ini, Moyo, bandama, matatizo ya mifupa, kiuno, mgongo, ganzi,, miguu, uzito mkubwa, unene, nguvu za kiume, tezi dume, vidonda vya tumbo,uzazi nk usisite kuwasiliana nasi Huduma zitakufikia popote ulipo iwe mkoani au nje ya nchi.

Clara michael

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Arusha