CategoriesJobsHealthcare

02.06.2022Tanzania, Arusha

JE KUNAMADHARA YEYOTE UKIWA NA FANGASI SEHEMU ZA SIRI?

Negotiable

Description

MADHARA YA FANGASI SEHEMU YA SIRI NA TIBA Arusha Mjini Arusha Description Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na fangasi aina ya CANDIDA ALBICANS, maambukizi haya pia hujulikana kama YEAST INFECTIONS /THRUSH CANDIDA ALBICANS hupatikana katika midomo, mpira wa kupitishia Chakula (PHARYNX), kibofu cha mkojo, uume au katika uke pia. ~bacteria Hawa huishi katika sehemu hizo Bila kuleta madhara, isipokua pale mazingira ya eneo husika, yanapobadilika, MFANO mabadiliko katika Hali ya PH tutambue PH ya mwanamke ndani ya uke ni 4.0_4.5 au uwiano wake na vimelea (microorganisms) wengine, hivyo huharibiwa kutokana na sababu mbalimbali kama vile MATUMIZI YA MADAWA YA ANTIBIOTICS kama AMPICILLINE, CIPROFLAXINE, AMOXYLINE, DOXYCYCLINE, ERTHROMYCINE, NK pia kupungua kwa Kinga kutokana na magonjwa mbalmbali . ~maambukizi ya fangasi ukeni yamegawanyika katika sehemu KUU mbili nazo ni ÷ (1)MAAMBUKIZI YASIYO MAKALI (UNCOMPLICATED THRUSH) ~katika aina hii mgonjwa hupatwa na maambukizi Mara moja hadi nne kwa mwaka pia Dalili zake huwa si za kuogopesha na maambukizi haya husababishwa na fangasi aina ya CANDIDA ALBICANS (2)MAAMBUKIZI MAKALI (COMPLICATED THRUSH) Katika kundi hili mgonjwa hupatwa na maambukizi Zaidi ya Mara nne au Zaidi kwa mwaka pia Dalili zake huwa ni za kuogopesha kama maambukizi yatakua yametokea kipindi cha UJAUZITO, ugonjwa wa VVU, ugonjwa wa sukari nk VIHATARISHI VYA MAAMBUKIZI YA FANGASI KATIKA UKE · Mabadiliko ya mfumo wa homoni mwilini ambazo husababisha mabadiliko katika sehemu za siri · magonjwa ya saratani ya tezi koo la Chakula (thyroid cancer) · wanawake wenye umri wa miaka 20_30 wapo katika hatari ya kupata maambukizi haya wakati wale ambao wameshaacha kupata hedhi (menopause) na wale ambao hawajaanza kupata hedhi hawako katika hatari kutokana na mazingira na vitu wanavyotumia · upungufu wa Kinga mwilin kutokana na magonjwa hatar ya saratani, kisukari, ugonjwa wa mononucleosis nk · matumizi ya vidonge vya majira · msongo wa mawazo · kujamiana kwa njia ya kawaida Mara tu baada ya kujamiiana kupitia haja kubwa (anal sex) · matumizi ya glycerin wakati wa kujamiiana husababisha maambukizi pia · kuwa na historia ya kupata matibabu ya homoni (hormonal replacement therapy) ~ujauzto (husababisha kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini ~kuwa na utapiamlo (malnutrition ~kuvaa nguo za ndani ziszo kauka vzur ~kuvaa mavazi yanayoleta sana joto sehem za siri DALILI ZA UGONJWA WA FANGASI UKENI · kuwashwa sehem za siri · kuhisi maumivu makali wakati wa kujamiiana (superficial dysapareunia) · kuhisi kuwaka moto sehemu za siri Mara baada ya kutoka kufanya tendo la ndoa au kutoka kukojoa (burning sensation · kupata vidonda ukeni (soreness · kuvimba na kuwa mwekundu katika mdomo wa nje wa uke (labia minora · kupata maumivu wakati wa kukojoa · kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa MWEPESI au MZITO au majimaji NOTE :Dalili na viashiria hivi huwa mbaya Zaidi mwanamke anapokua mwezini MATIBABU NA JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU WA FANGASI UKENI Matibabu ya ugonjwa huu wa fangasi hupatikana kwa urahisi Tanzania na tiba hupatikana na kutolewa kupitia vipimo vya uchunguzi na majibu yalivyotoka pamoja na hayo matibabu ya ugonjwa huu hospital sio ya uhakika kwasababu dawa za hospital hazitibu chanzo cha tatizo hivyo ndio maana tatzo hili huwa Linajirudia baada ya muda fulani, pamoja na hayo ugonjwa huu unaweza kujiknga nao kwa kuepuka mambo mbalimbali na kufanya mambo yatakayotusaidia kutopata ugonjwa huu kwa kuzingatia kanuni ya afya na USAFI · Vaa chupi ambazo hazibani na zilizotengenezwa kwa pamba au hariri epuka kutumia chupi aina ya synthetic underwear. · epuka kufanya mapenzi na mpenzi wako mwenye maambukizi haya · kula mlo wenye virutubsho muhimu · epuka kuoga maji ya moto sana (Hot baths) tumia maji ya uvuguvugu · osha sehemu zako za siri kwa kutumia maji Safi na jikaushe kwa kutumia taulo au kitambaa Safi · epuka mavazi yote ya kubana ukeni. · tumia ped na pantiliner zenye anions chip zenye uwezo wa kufyonza haraka zenyewe zinaitwa NEPLILY SANITARY PADS ambazo mara nyingi hazipatikani madukani, hvyo basi tujulishe tuweze kukutumia pale ulipo. · kunywa maziwa aina ya mtindi yenye live culture Mara kwa Mara yatakusaidia kuepusha maambukizi ya fangasi ukeni · epuka matumizi ya vifaa vya kupanga uzazi na vifaa vya kufanyia mapenzi (sex toys, diaphragm cervical caps) husababisha maambukizi ya fangasi ukeni · epuka kutumia sabuni za kemikali/dawa kuoshea ukeni Matibabu wasiliana nasi Huduma zetu nchi nzima.

Clara michael

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Arusha