CategoriesJobsHealthcare

26.05.2021Tanzania, Dar Es Salaam

FEMININE WASH

TZS 80 000

Condition:

NEW

Description

*FAIDA ZA KUTUMIA FEMININE WASH KWA MWANAMKE* FEMININE WASH Hii huwa inafahamika kama mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.Imeandaliwa maalumu kwa ajili ya wanawake. Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini. Inamadini yanayohuisha uke na kuwa na ulinzi asilia,inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka(mashavu),uke uliolegea, Ina mafuta mazuri yanaitwa *essential oil* kwa ajili ya kufanya uke urudishe mnato wake wa asili. Kazi zake ni hizi hapa???? FERMININE WASH ☆Huondoa harufu mbaya ukeni ☆Huondoa bacteria wabaya na kuzuia UTI ☆Huondoa fangasi na miwasho ukeni ☆Hurudisha size nzuri ya uke ☆Huondoa maji maji yatokayo ukeni yenye Harufu mbaya ☆Huondoa maumivu wakati wa tendo la ndoa ☆Hufanya mwanamke kujiamini muda wote ☆Huzibua mirija ya uzazi hivyo kusaidia wenye shida ya kutoshika mimba ☆Humkinga mwanamke na maambukizi mabaya hasa u.t.i kwenye vyoo,kemikali za swimming pool, maambukizi Mabaya kutoka kwa mwanaume.n.k Mwisho kabisa napenda kushauri wanawake wote uwe unaumwa au huumwi hii supplement ni vizuri kuwa nayo ndani itakusaidia kwenye mazingira usiotegemea. Kwa kuipata wasilian nasi

Fatma

Member since 2019.
xxx xxx xxx xxx

User

Categories

Location

Dar Es Salaam