Description
UZAZI ni mchanganyiko wa dawa za asili zenye uwezo wa .kusafisha mfumo wa uzazi .kizibua mirija ya uzazi .kuondoa uvimbe kwenye mfuko wa uzazi Kurekebisha hedhi zisizo mpangilio au zinazo ambatana na maumivu makali na homa kutibu tatizo la kutoshika mimba na ikishika ina poromoka (ina haribika) kuondoa maumivu makali wakati wa tendo au kutohisi hamu kabisa matumizi tumia vijiko vidogo 2×2 ndani ya kikombe kimoja cha uji, maziwa , maji moto kwa siku