07.04.2022Tanzania, Dodoma

TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO

TZS 95 000

Description

chanzo,dalili na tiba ya vidonda vya tumbo ndani ya siku tatu (peptic ulcers diesease)vidonda vya tumbo ni matokeo ya kuharibika kwa ukuta wa ndani ya ukuta wa tumbo chakula au ndani ya utumbo mdogo wa chakula na matokeo yake ni ukuta wa tumbo kugusana na tindikali iliyoko tumboni ambayo ni kali sana kama maji ya betri.>vidonda vya tumbo husababishwa na maambukizi ya bacteria waitwao helicobacterpylori, aidha matumizi ya dawa za kutuliza maumivu jamii ya non-steroids anti inflammatory drugs kama vile aspirin/dicplofenac huweza kusababisha uwezekano wa kupata ugonjwa huu.>vidonda vya tumbo vinaweza kujitokeza ktk utumbo mdogo na ktk tumbo la chakula na pia mara chache huweza kujitokeza katika koo la chakula ambapo hapakukusudiwa kustahimili tindikali ya tumbo .>ni ajabu tu kwamba kimelea cha helicobacterpylori kina uwezo wa kuishi ndani ya tumbo la chakula licha ya tindikali iliyomo katika tumbo ni kali sana kiasi kimelea hiki kisingeweza kuishi tumboni ila kuna sababu za kisayansi zinazofanya kimelea hiki kustahimili tindikali na kusababisha vidonda vya turbo. aina ya vidonda vya tumbo1.gastric ulcers hivi ni vidonda ambavyo vinatokea kwenye mfumo wa chakula yaani tumboni.2.duodenal ulcers hivi ni vidonda vinavyotokea katika utumbo mdogo.3.oesophageals ulcers hivi ni vidonda vinavyotokea katika koo/koromeo la chakula hatua kuu za vidonda vya tumbougonjwa huu una hatua nne(4) ambazo ni:-*hatua ya kwanzahatua hii ya kwanza ya ugonjwa huu ni ule uvimbe sugu unaotokea sehemu ya ndani ya tumbo.*hatua ya pilihatua hii ya vidonda hujitokeza sehemu zenye uvimbe na taratibu vidonda hivyo huongezeka na kuwa vikubwa katika hatua hii mgonjwa hupatwa na maumivu makali ya tumbo yanayodumu kwa muda mrefu yakiambatana na kiungulia, tumbo kujaa gesi wakati wote, kukosa hamu ya kula,choo kuwa kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu, hata hivyo hali hii ya kukosa choo kwa muda mrefu (chronic dyspepsia) yaani kushindwa kufanya kazi kwa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula kutokana na tindikali nyingi inayozalishwa tumboni huingia kwenye mzunguko wa damu hivyo mgonjwa hujisikia uchovu na kizunguzungu cha mara kwa mara katika hatua hii tindikali husababisha magonjwa ya ini na figo kwa kuwa ipo katika mfumo mzima wa damu.*hatua ya tatuhii ni hatua ambayo ni ya hatari kwa sababu vidonda vikubwa hupasua mishipa yote midogomidogo ya damu na kusababisha damu kuvia tumboni na kubadilisha rangi ya choo kuwa sio ya kawaida,pia damu nyingi ikivujia tumboni mgonjwa hutapika na kuharisha damu hali hii husababisha mgonjwa kuishiwa damu mara kwa mara, maumivu mkali ya tumbo, hupata homa, maumivu ya viungo na kukosa hamu ya kula. 4.hatua ya nne. katika hatua hii saratani ya utumbo inahusika kwani katika hatua hii vidonda ya tumbo hutengeneza tundu katika tumbo au utumbo mdogo na husababisha kuoza kwa viungo vya ndani na matokeo yake ni saratani ya utumbo. visababishi vya vidonda vya tumbovisababishi vya ugonjwa huu vipo vingi sana hivyo yatupasa tuviepuke ili kujiepusha na ugonjwa huu.vifuatavyo ni visababishi vichache vya ugonjwa huu:--utumiaji wa madawa ya kuondoa maumivu kwa muda mrefu. -mawazo na huzuni kwa muda mrefu. -kutokuwa na muda maalum wa kula -utumiaji wa pombe uliopitiliza-utumiaji wa madawa ya kulevya nk dalili za vidonda vya tumbo~dalili za vidonda vya tumbo ni nyingi ila sio wote wanye dalili hizi wana vidonda vya tumbo •maumivu makali au kiungulia maeneo ya chembe moyo (epigastic pains). •kuvimbiwa au tumbo kujaa gesi,hali hii huweza kuendana na kucheua au kujamba mara kwa mara. •kutapika damu •mtu mwenye vidonda vya tumbo (gastric ulcers) hupata maumivu makali pindi anapokula au amalizapo kula. •mtu mwenye vidonda vya tumbo katika utumbo mdogo(duodenal ulcers) hupata maumivu makali pindi anapokuwa na njaa. •kupoteza hamu ya kula •kupungua uzito •kupata haja kubwa yenye rangi ya damu tena chenye harufu mbaya .matibabu na jinsi ya kujikinga na ugonjwa huumatibabu ya ugonjwa huu yanapatikana vizuri nchini mwetu ila tatizo ni tiba yenyewe kutokuwa na wataalam wa kutosha wa kutibu chanzo na ****liza tatizo pasipo kuleta matatizo mengine kutokana na matibabu yenyewe kuhusisha mfumo wa dawa za kemikali ambazo zina madhara kwa mhusika na pia zina maudhi mengi hivyo.#tiba bora na sahihi kwa vidonda vya tumbo ni kutumia tibalishe #isomalto,spirulina na propolis# na ni dawa zisizo na kemikali pia tunapaswa kuepuka baadhi ya vyakula na kuzingatia mashartimambo ya kufanya kwamwenye vidonda vyatumbo1.epuka kula vyakula vyenye viungo vingi mfano pilau 2.epuka kutumia pombe3.epuka ulaji wa vyakula vyenye sukari nyingi 4.kula chakula kidogo kwa wakati maalum 5.kula vyakula vyenye fiber yaani vyakula vyenye nyuzinyuzi .6.epuka unywaji wa kahawa au kinywaji chochote chenye caffeine kiepuke sana.7.epuka vyakula vyenye ngano.karibu kituoni kwetu upate tiba kamili ya ugonjwa wa vidonda vya tumbo.tupo DODOMA.

Dr. Maximilian

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dodoma