13.10.2022Dar es Salaam

Mifi+40gb

TZS 40 000

Description

Habari wateja wangu nauza mifi kutoka tigo kama mnavyoziona kwa bei ya ofa ukienda dukani au kama unafatilia matangazo unaona kabisa bei imesimama inauzwa tsh 49,000 lakini mimi nakuja na punguzo utajipatia kwa tsh 40,000 kizuri zaidi inakuja na ofa ya 40gb mwezi mzima kabisa utakaponunua kifaa hiki pia kina uwezo wa kuunganisha watu 10 au vifaa 10 mkawa mnatumia kifaa kimoja yaani mnashare internet kwa wakati mmoja wahi ofa hii isikupite maana ni ya muda mfupi sana for more info 0713133862

Digo t.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam