04.06.2022Tanzania, Dar Es Salaam

ArthroXtra Tablets

TZS 105 000

Description

Bidhaa hii ina faida zifuatazo:- 1. huondoa maumivu yote ya nyonga, mgongo, miguu na mikono inayosababishwa na kusagika kwa mifupa na maungio. 2. hurudisha uteute(gegedu) katika mifupa na maungio hivyo huzuia mifupa na maungio kusagika. 3.huondoa maumivu sugu/ mara kwa mara ya misuli. 4. huondoa matatizo yote ya mifupa na maungio. 5. huboresha afya meno pia. tiba ya asili kwa maumivu ya viungo, viungo kusagika , nyonga, mgongo,kiuno, magoti ,miguu nk. ufumbuzi umepatikana. maumivu ya viungo husababishwa na viungo kusagana. kwa nini mifupa husagana na kusababisha maumivu ya viungo? kwenye maungio kati ya mfupa na mfupa kuna cartilge / mfupa laini unao zunguka mfupa. kazi yake ni kuzuia mfupa usisagane na mfupa mwingine. na hiya cartilage inatengenezwa na kirutubisho kinachoitwa glucoseamine kinachotengenezwa na mwili. pia kati ya mfupa na mfupa kuna ute ute unaoitwa synovial fluid.

Dr. Muro Thomas

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam