Description
Hii ni shaver inayotumika kunyolea nywele kwapani, miguuni,sehemu za siri, ndevu na sehemu zote zinazotakiwa kutolewa nywele, inatumika kwa wanawake na wanaume pia, ukinyoa haupati vipele wala miwasho, inatumia umeme na inachargiwa kama simu, Inapatikana kwa jumla na reja reja Jumla Tzs 20,000 kuanzia tatu, rejareja Tzs 25,000 Tunapatikana kimara baruti na mikocheni Dsm Delivery tunafanya popote ila mteja utalipia Call/ Whatsap 0655500847