26.11.2021Tanzania, Dar Es Salaam

3 in 1 Stepper Mashine

TZS 270 000

Condition:

NEW

Description

3 in 1 Stepper Mashine ya kisasa kwa wenye matatizo ya miguu hasahasa ✅Kupunguza unene wa wapaja ✅Kufanya miguu kuwa mepesi ✅Kupunguza uzito wa mwili mzima ✅Ni nzuri kwa wenye matatizo ya nyonga Mashine hii inakuja na vitu maalumu vya ziada kama - Dumbells kwa ajili ya mazoezi ya Mikono - Twist Disk kwaajili ya Mazoezi ya Nyonga/Kiuno - Pia ina sehemu ya kujishikia ukiwa unafanya Mazoezi

Mazoezi empire

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam