Description
UDONGO WA KUOTESHA »Ni udongo unaotumika kuoteshea mbegu/miche »Udongo huu unatumika kwenye miche/mbegu kabla ya kupanda shambani FAIDA YA UDONGO »Unauwez wa kutunza unyevu »husaidia mbegu kujikinga na magonjwa »Udongo ni mlaini husaidia hewa kuingia kwa urahisi »Unaruhusu miziz kupenya kwa urahisi N;B Udongo huu unatumika kwenye trey / Viriba ukitumia udongo huu mbegu azita kufa wala kupata magonjwa SASA UNAPATIKANA KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA