06.12.2022Dar es Salaam

Nyumba Inauzwa mbande

TZS 42 000 000

Description

Nyumba Inauzwa Mbagala Mbande. Nyumba ipo mbili kwenye eneo moja. Nyumba kubwa ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master bedroom moja ina jiko Dina na seeting room na nyumba nyingine ina vyumba saba vya kulala na vyote vina wapangaji pia kwa nje kuna frem nne za biashara na zote zina wapangaji nyumba ina umeme na maji yapo bei mil 42 kwa maelezo zaidi tupigie simu 0653204486 au 0687034948

John

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam