Description
Linda mali zako kwa kufunga Cctv camera leo kwa gharama ya shilingi 850,000/=tu pamoja na ufundi. Camera zetu ni bora na zinaonyesha picha angavu (HD) usiku na mchana. Tuna mafundi wenye uzoefu wa kutosha. Huduma hii inakupa v ifaa vifuatavyo 1. Camera 4 2. Dvr channel 4 3. Hard disk ya 1TB 4. Cable 100M 5. Power supply 6. Bnc na Power pin Tupo Dar es salaam, Posta House ghorofa ya 3 au piga namba 0713 848228 au 0764 308320 . Karibuni sana, karibuni nyote ,karibuni tuwahudumie.