Description
★NGOGWE CHUNGU »Ni ngogwe nzuri inayofaa kwa masoko ★KUNA AINA MBILI ZA NGOGWE ¹/Ngogwe chungu ²/Ngogwe tamu SIFA »hukomwa kwa siku 60_65 »uzito wa tunda ni gram 30_35 »Mavuna kilo 1.5 hadi 2.5 kwa mche inategemea na matunzo USTAHIMILIVU »hustahimili baadhi ya wadudu WASTANI KWA HEKA 100gm 90cm x 90cm N;B *Zinafaa kwa wakulima wote wakubwa n wadogo *Na wale wanaopenda kulima kwa ajili ya mbogamboga za nyumban ni nzuri kwa kuanzia ZINAPATIKANA KWA KUANZIA GRAM »5gm... 10gm... 25g...50gm.. 100gm.. KARIBUN SANA